SPEECH BORA YA MWALIMU NYERERE UMOJA WA MATAIFA Extra Quality
Kufutwa kwa ada ni moja ya hatua muhimu sana kuchukuliwa na serikali ili kutekeleza adhima yake katika malengo ya elimu. Sera ya Tanzania ya elimu na mafunzo ya ufundi stadi inalenga kuongeza upatikanaji wa elimu ya msingi na sekondari, na kuongeza ubora wa elimu. Malengo haya yanaendana na malengo ya maendeleo endelevu (SDGs), mpango wa shirika la umoja wa mataifa wenye lengo la kuhakikisha nchi zote zinatoa elimu bure kwa watoto, kwa usawa, na elimu bora ya msingi na sekondari ifikapo mwaka 2030. Malengo haya yanaendana na majukumu ya kimataifa na kitaifa ya haki za binadamu kwa Tanzania katika kutekeleza haki ya elimu ya msingi na sekondari kwa wote.
SPEECH BORA YA MWALIMU NYERERE UMOJA WA MATAIFA
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Taasisi ya Mwalimu Nyerere Paul Kimiti ameomba watanzania kuyaendeleza yale yote mema yaliyofanywa na mwalimu ili kulijenga taifa katika misingi imara ya upendo mshikamano na umoja zaidi. 041b061a72